Chombezo……………….SIRI YA BAFU
MTUNZI—————— JACK MAMBO
UMRI______________18+
SEHEMU YA 1
“Ooh!yessss!fuck me babe,fuck meee!ooh!fuck!”,hiyo ni sauti iliyosikika kwa mbali kutoka kwenye chumba kimoja ambacho ndani yake alikuwemo kijana mmoja ambaye umri wake ni kati ya miaka kumi na nane hadi ishirini!
Alikuwa peke yake macho ameyakodoa kwenye simu anaangalia video chafu za ngono,mkono wake mmoja aliupitisha ndani ya boksa yake akimshika askari wake ambaye alikuwa tayari kwa gwaride la asili!
Hisia zilikuwa mbali muda ule akiangalia mzungu akiwa anafanya mapenzi na mwanaume mweusi ambaye alikuwa na misuli amejazia kimazoezi!
Sauti za mzungu akilalamika kuonyesha kabisa anakunwa ipasavyo zilimuweka Hamza katika wakati mgumu sana,akajikuta anamuonea wivu Yule jamaa wa kwenye video akiona kama anafaidi sana!
"Huyu falaa anafaidi duhh!cheki cheki dahhh!mamaee!"
Ghafla mlango ulifunguliwa akashtuka akitaka kuficha simu lakini alipomuona aliyeingia alisita na kuendelea kuangalia video ile ambayo ilimteka kimawazo na kihisia!
“Umenishtua mwanangu!”,alisema Hamza akimwambia kijana aliyeingia ndani ambaye kiiumri alimpita kama miaka mitano hivi!
“We dogo unapenda sana X wewe utakuja kuoa kweli wewe!”
“Ahh!Bro Eze vitu vitamu hivi cheki huyu manzi anavyopelekewa moto,hili jamaa duh!mpaka nalionea wivu aiseeh!”
“Soma mdogo wangu,achana na hayo madude utakuja kuwa kama sisi tu kuendesha magari ya watu,sijui yetu tutanunua lini?”
“Aah!bro mi mzuka na kusoma sinaga kabisa sema tu nasoma sababu ya wazee,mi ningekuwa napiga mishe zangu tu saivi!”
“Maisha siyo rahisi kama unavyohisi mdogo wangu,mi saivi ningepewa nafasi ya kurudi shule ningesoma mpaka basi!”
Wakati wanaongea kuhusu shule Hamza hakuwa na hili wa lile,mawazo yake yalikuwa kwenye video ya ngono akiangalia jinsi mzungu anavyopelekewa moto tu,ghafla simu ikaita!
“Nani huyo?”,aliuliza Ezekiel ambaye ndiye mmiliki wa simu!
“Fatuma gengeni!”
“Ooh!nipe nipe!”
Aliichukua simu Eze akaipokea akaanza kuongea na Fatuma,mudfa huo Hamza ametega sikio anasikiliza maana aliiweka sauti kubwa ikawa inasikika!
“Oyo nambie sasa mtoto mzuri ndiyo mida nini?”
“Mi ndiyo natoka home saivi”
“Poa nakusubiri mrembo,shoo shoo au vipi?”
“Wewe tu mkaka,kazi kwako!”
“Hapo ndipo nakupendeaga,sema nini mwambie huyo dogo anayeuza chipsi hapo gengeni nilishampanga akupe kidali na chipsi yai hapo uje navyo kabisa!”
“Mhh!we kaka unataka nikupe na ovary kabisa nini,mmmh!”
“Hahahahahah!”
“Nionyeshe ulivyofundwa unyagoni!”
“Usijali mi nyama yako leo,sijui utanikaanga,utanichemsha au utanichoma!”
“Itafahamika!”
“Hahahahah!”
“Poa chap basi!”
“Usiwaze!”
Alimaliza kuongea na demu wake akakata simu akamuona jinsi Hamza alikuwa anamsikiliza kwa makini!
“Vipi dogo!”
“Dah!bro Eze huyo si ndiyo Yule Fetty anauza genge pale sokoni ana msambwanda kama kabeba mabomu!”
“Hahahahah!ndiyo huyo huyo!”
“Mhh!wakubwa mnafaidi!”
“We dogo hivi una demu kweli wewe,maana sijawahi kukuona na demu,unakuja unaangalia X halafu unaenda kuzitolea wapi?”
“Ahh!bro mi nina mademu wewe!”
“Ahh!wapi we sema unapiga nyeto!”
“Aah!unazingua bro kwahiyo vipi leo hakulaliki humu,kambi imeingiliwa?”
“Ndiyo ivyo mdogo wangu we leo kalale na wadogo zako!”
“Mh!wanakojoa wale kitandani kubabeki sema fresh siyo kesi,mi nasepa bro!”
“Powah moro mdogo wangu!”
Hamza aliondoka huku akiwa na hisia kali kutokana na video za mapenzi alizokuwa anaangalia kwenye simu ya Ezekiel!
Wanaishi nyumba moja na Ezekiel,wote wakiwa ni wapangaji,Eze amepanga chumba kimoja huku wazazi wa Ezekiel wakiwa wamepanga vyumba viwili na sebule!
Ni nyumba kubwa sana ya wapangaji tu,ambao wanafika hata therathini kabisa,alienda mpaka kwenye chumba anacholala yeye na wadogo zake,muda huo akili yake ilikuwa haijatulia kabisa!
Huwa ana namna yake ya kujituliza akiwa katika hali ile,aliwaangalia wagodo zake ambao walikuwa mbali wakijiotea ndoto za kujikojolea kitandani!
Alichukua sabuni yake na maji kisha akaenda zake bafuni,akiwa anakatiza akasikia kwenye dirisha la jirani sauti za watu wanafanya mapenzi,safari yake ikaishia hapo,akatamani kuchungulia lakini bahati mbaya ikawa kwake maana taa zilikuwa zimezimwa!
JE NINI KITAENDELEA?USIKOSEEE MAMBO YAMEANZA!