Chombezo……………….SIRI YA BAFU!
Mtunzi……………………..Jack Mambo
Call…………………………..0716352102
Whtsp__0752761388/0744872552
UMRI______________18+
KUMBUKA GROUP ZINAPOTEA ILA PAGE ZINAISHI,ILI USIKOSE UHONDO WA HADITHI ZANGU INGIA HAPA LIKE PAGE YANGU,HAPO UTAKUWA NA UHAKIKA WA KUSOMA STORY ZANGU KILA SIKU ----👉👉👉 Story za Mambo
SEHEMU YA 11
Siri siyo siri tena,Mama Jeni alishika kichwa kwa hofu na aibu,alijiuliza ataiweka wapi sura yake endapo Ile inshu ikisambaa kuwa kafanya mapenzi na kijana mdogo sawa na mwanae!
Alijiuliza maswali mengi sana,lakini yote aliyapinga,aliwaza Sheila kajuaje?akijaribu kuwaza pengine ni Hamza kamwambia lakini alipingana na mawazo hayo!
"Vipi shoga mbona uso umekushuka,fisadi uso na haya,kazi kubembea kwenye vifua vya watoto!"
"Sheila taratibu basi,haya mambo mbona yanaongeleka mbona!"
"Aya nambie shoga,tuyaongee Mama wa Vibenteni!"
Alisema Sheila huku akikaa kwenye sofa lake,Mama Jeni naye kwa aibu akakaa huku kauinamisha uso wake chini!
"Mmh!mmh!nambie mama kibenteni!"
"Sheila usiniiite ivyo mi ilitokea bahati mbaya tu!"
"Bahati mbaya na Ile milio shoga,ukampa yote kijana wa watu unataka hasisome akuwaze wewe eeh!"
"Siyo ivyo Sheila nilishikwa,Ila please naomba iwe Siri yetu!"
"Siri yako na nani?mi hapa namsubiri mumeo nimwambie kila kitu!"
"Sheila nina watoto mimi,utanivunjia ndoa yangu!"
"Ulipokuwa unafanya ulikuwa unawaza nini?halafu unajikutaga msaaafiiii mwenyewe,ukamkataaga Kaka yangu eti hutaki kuchepuka,Leo imekuwaje?"
"Sheila mi nipo tayari kufanya chochote ili tu unitunzie Siri ya bafuni!"
"Eeh!eeh!hayo ndo maneno Sasa!"
"Kwahiyo upo tayari kufanya chochote kuficha Siri?"
"Ndiyo nipo tayari!'
Kufikia hapo Sheila alinyamaza kidogo ukapita ukimya Kama wa sekunde kadhaa,ndipo akatoa sharti lake kwa Mama Jeni!
"Nataka umkubali kaka yangu,umpe ulichomnyimaga!"
Mama Jeni aliinamisha kichwa,hapo alikuwa anamlaumu sana mumewe,sababu ni yeye hamfikishi panapotakiwa ndiyo maana akajikuta ameangukia kwenye Siri hii inayomtesa Sasa!
"Nataka majibu shoga,sina muda Mimi na unajua vile friji langu haligandishi!"
"Sa...sawa,ni...nimekubali!"
"Heheheheeeee!hauna ujanja,ndege mjanja umeingia kwenye tundu bovuuu,halooooo oooooh!"
"Sheila nakuomba chonde nifichie Siri yangu!"
"Usijali mbona we fuata ratiba yangu tu mbona kila kitu Safi!"
"Sawa mi nikuache basi!"
"Powah ngoja nimcheki bro aje ale mzigo,sema atafaidi mamae,na hilo zigo yaani mi ningekuwa mwanaume ningeshakukwangua kitambo,hata kwa kukubakaaa!"
Alisema Sheila muda huo Mama Jeni akili haipo kabisa,aliinuka na kuondoka akiwa na huzuni na kumuacha Sheila anatamba ndani kwake!
Alipoondoka tu Sheila akainyanyua simu na kumpigia Kaka yake,simu ikaita ikapokelewa!
"Halooo,brooo Yani huku mambo saaafiiiiiii!"
"Unamaanisha nini?"
"Namaanisha mbuzi kafia kwa muuza supu!"
"Sikuelewi ujue!"
"Utanielewa tu!"
"Aya nieleweshe!"
"Unamkumbuka yule mpangaji mwenzangu ulikujaga hapa ukamuelewa ukamtaka akakuzingua!"
"Nani yulee,yulee mwenye matako makubwa!"
"Ewaaaaaahhhh!mama Jeni huyooo!"
"Kafanyaje?"
"Nimesharekebisha kila kitu sasa umebaki wewe tu mzee,kila kitu tayari ni wewe kusema tu,tunazika au tunasafirisha!"
"Weeeh!usinambie Yule demu kakubali!"
"Tayariii mbona!"
"Nakuja huko,nakuja leo leo kudadeki!"
"Fanya chap,supu itapoa hii!!"
"Nakujaaaa!"
"Sema uje na mazingira si unaelewa bro!"
"Usijali umenifurahisha Sana,ngoja uone nipe dakika moja!"
Simu ilikatika ndani ya dakika tatu Sheila akapokea muamala kuwa amepokea shilingi elfu themanini na tano!
"Saaafi!Mambo si ndiyo haya,ahsante bafu bila wewe leo nisingekunywa Savannah"
*****
Hamza alikuwa amekabwa kabali kaning'inizwa ukutani hana ujanja,kila anachosema Frank haelewi hata kimoja!
Bahati mbaya ilikuwa kwake sababu Frank aliona jinsi Zainabu alivyokuwa anampapasa mapajani!
Lilikuwa timbwili zito sana,mpaka ikabidi wanafunzi wengine waingilie kumtetea Hamza ambaye ni wazi kwa nguvu hakumfikia Frank hata robo!
"Oyah!bro huyu unamuonea alikuwa anaomba namba kwa sista hapa!"
"We mkaka vipi,Karne hii unagombea demu,we wa zamani sana wewe,Kama hakupendi si umuache chefuuuu!",alisema mdada mmoja bila uoga!
"Frank ebhu muachie please huyu hana kosa lolote!",alisema Zai ambaye ndiye amemuweka kijana Hamza matatani!
Wengi waliibuka na kumtetea Hamza,kiasi kwamba Yule jamaa akaona aibu akamuachia na kuondoka zake!
"Pole babe!",alisema Zai lakini Hamza hakuitikia akatoka darasani akiwa na hasira na kwenda zake nje!
Ukifika muda wa kuingia darasani wakaingia vipindi vikaanza,siku ile ilikuwa ngumu sana kwa Hamza kutokana na kazi nzito aliyoifanya usiku,kazi ya kuwakojoza watu wazima ilihali yeye ni kijana mdogo tu!
Ulifika muda wa mapumziko siku hiyo na yeye akaenda kantini baada ya kutohudhuria huko kwa muda!
Pesa ya mama Jeni ilimpa kiburi siku hiyo,kutokana na ukilaza wake darasani baba yake alishasema awe anapewa nauli tu,huku kauli yake kubwa kwake ni kuwa,
"SIWEZI NENEPESHA NG'OMBE HASIYETOA MAZIWA!"
Alisema ivyo akimaanisha hawezi kupoteza pesa kwa Hamza ilihali akili ya kusoma hana!
Hamza alifika kantini akaagiza chapati na chai kwa gharama ya buku tu,alipanga Ile pesa atumie walau siku tano shuleni!
Akiwa zake pembeni anakunywa chai mara Zai naye akaja akiwa amebeba supu bakuli mbili na chapati,bakuli moja akampa Hamza Kisha akakaa pembeni yake!
JE NINI KITAENDELEA?USIKOSE MAMBO YANANOGA TARATIBU!
#FULL_____SH_3500/=
#KIPANDE_SH_100/=
Lipia hapa 0716352102 (Tigopesa) au 0744872552 (mpesa)...jina Khadija matengula Kisha njoo whatsap 0752761388
#USISAHAU_KULIKE
#USIACHE_KUKOMENTI
#SHARE_KWA_WINGI
#Mtag_rafiki_yako_anayependa_hadithi_ushindeeeeeee🔥🔥🔥